Goodluck Gozbert presents the music video for Ipo Siku
Subscribe to the channel:
Follow on Instagram:
Watch Goodluck Gozbert’s New EP “USHINDI”:
IPO SIKU Lyrics
Ni mbali nimetoka Tena ni ajabu kuwa hai
Maana ningeshakufaga
Ni mengi nimeona
Tena ya kuvunja moyo
Labda ningeshamwacha Mungu
Na Kama ni misongo ya mawazo Magonjwa mama
nimepitia ninazoea
Maumivu ya kudharauliwa, umasikini
kila siku, ninajipa moyo
Ipo siku yangu tu,
Ipo Siku, siku
Ipo siku yangu tu
Nami niba niba nibarikiwe,
Ipo siku yangu tu,
Ipo Siku, siku
Ipo siku yangu tu
Nami niba niba nibarikiwe
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Ah nibarikiwe (nibarikiwe)
Oh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
niba, niba, nibarikiwe
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Ah nibarikiwe (nibarikiwe)
Oh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
niba, niba, nibarikiwe
Ingawa kwa sasa wananisema vibaya,
Nami sishangai β najua ni ya wanadamu hayo.
Ingawa sipati na ni kwa muda mrefu
Siachi kuomba; Mungu si kiziwi.
Binadamu wema, ukiwa nacho
Kwa sasa waniepuka sina rafiki wa dhati.
Ooh Kama ni misongo ya mawazo
Magonjwa mama, nimepitia, ninazoea
Maumivu ya kudharauliwa, umasikini
Ni kila siku, ninajipa moyo
Ipo siku yangu tu,
Ipo Siku, siku
Ipo siku yangu tu
Nami niba niba nibarikiwe,
Ipo siku yangu tu,
Ipo Siku, siku
Ipo siku yangu tu
Nami niba niba nibarikiwe,
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Ah nibarikiwe (nibarikiwe)
Oh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
niba, niba, nibarikiwe
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Ah nibarikiwe (nibarikiwe)
Oh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
niba, niba, nibarikiwe
Miaka imepita, unaombaga mtoto hupati
Vuta subira maana Yeye hachelewi
Ona biashara imeandamwa mikosi hupati
Usimwache Mungu, waganga watakuponza
Mpo kwa ndoa ila nyumbani amani hakuna
Msimwache Mungu β michepuko sio jibu
Umeugua tumaini la kupona hakuna
Usimtazame mwanadamu siku yako imekaribia.
Najua Ayaya
Najua ayaya
Najua ayaya niko poa
Najua Ayaya
Najua ayaya
Najua ayaya niko poa
Misukosuko ya ndoa
Mtoto anakusumbua
Giza likiingia unawaza wapi utalala
Masimango Mashemeji, ati huzai mtoto
Masimango mama wa kambo, Umemchosha nyumbani
Usiwaze usiumie, najua yote yatapita
Siku imekaribia, najua yote yatapita (uba uba ubarikiwe)
Nawe ubarikiwe, ubarikiwe
Ah ubarikiwe ubarikiwe
Nawe ubarikiwe ubarikiwe
uba uba ubarikiwe
Nawe ubarikiwe, ubarikiwe
Ah ubarikiwe ubarikiwe
Nawe ubarikiwe ubarikiwe
uba uba ubarikiwe
God has blessed i will not ashamed him
π β€
More blessings my beloved brother
Uu wimbo unanikumbusha dar nipo na vyeti vyangu nanyeeshewa mvua kutafuta Kaz unanikumbusha mbali nikiusiliza
I really love this song β€
IPo siku yangu tuh! 2024 nami nibarikiwe
Maumivu ya kudharauliwa π’π’π’
I can't get tired of listening the song is ablesing to me ,working in Saudi Arabia ,iposiku yanguβ€β€β€β€
Lord wipe my tearsπ’
Ameen
Natumai kuwa huyu Mungu atanionekania aninyunyizie baraka zake
This is 2024 and am still enjoying the song if you are among pita na like
My song
Ipo siku yangu itafika π
Still listening in 2024. Great song. Goodluck, keep on keeping up with the great music to God.
I really like this song, I listen to it every time. It gives me encouragement of the challenges we are going through in our familyπ’
I feel proud of you
I remember when I got married in 2021 after some few months people started saying that I wouldn't get pregnant because my husband is a PWD.Every morning when I woke up I used to listen to this song,guess what now "Am a mom now"this song is a true definition of my story
Manifesting a job n financial breakthrough through the song π’π’
β€β€β€β€ππ
Hii song naipenda sana juu huwa inanipa moyo sana wakati nikona shinda
πππππ
Amazing dear keep π₯ burning β€β€β€
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana wakati Mama yangu anapambana na madeni, Baba hayupo nyumbani na hakuna chakula. sikuchoka kuusikiliza wimbo huu kwani niliamini ipo siku Mungu atafanya kila kitu kitakua sawa. Na leo baada ya miaka 7 nimerudi kushuhudia ukuu wa Mungu
Naelewa swahili.subtitles for allβ€
2024 wapi likes
Nikiskiza nyimbo zako walai mwili wa sisimuka waaaaaah zikona furaha na uponaji ubarikiwe sana my brother ππππππππππππππππππππβ€β€β€β€β€β€β€β€ipo siku yangu tu nami ni barikiwe ewe mola nibariki ni jengeee mzazi wangu japo kuwa sina huyo mwengine ila mola yuko kunitetea ,mama nakupenda sana mola ailaze roho yako mahali pema peponi π’π’π’π’π’amin
Why am I breaking out this night while listening to this songππ ipo siku
https://youtube.com/@ChristopherPetroNassary-db8yp?si=XqyYerX06LDDXtwl
2024 still listening
Ipo siku yangu tu
Maumivu hata mm Bado napitia but najua Kuna sikuu Nina imaniπ’π’π’
2024 ipo siku yangu tu
So nice πππππ
Ipo siku yangu tuππππbe blessed servant of God
Its 2024 bado ninatumaini ipo siku yangu tuπ°πͺπ°πͺkenyans lets show some love this year
i dont understand swahili but i love your songs more grace i just listen lyrics
Ipo siku..i believe..
Namwamini Mungu ipo siku yangu tu nami nibarikiwe hii 2024.